• HABARI MPYA

    Monday, October 09, 2017

    KANE AFUNGA KWA TUTA, ENGLAND YASHINDA 1-0 UGENINI

    Harry Kane akipiga penalti kuifungia bao pekee England dakika ya 27 kufuatia Dele Alli kuchezewa rafu kwenye eneo la hatari katika ushindi wa 1-0 jana dhidi ya wenyeji, Lithuania kwenye mchezo wa Kundi F kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi Uwanja wa Vilnius LFF mjini Vilnius PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KANE AFUNGA KWA TUTA, ENGLAND YASHINDA 1-0 UGENINI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top