Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kutokea benchi na kuifungia Ureno bao la kwanza dakika ya 63 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Andorra usiku wa jana Uwanja wa Taifa mjini kwenye mchezo wa Kundi D kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi. Bao la pili la Ureno lilifungwa na 86 Andre Silva dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea will 'rival Man City for Jamal Musiala' as Blues look to 'bring
former youth star back to England' after starring for Bayern Munich
-
Chelsea are ready to rival Manchester City for Jamal Musiala as Premier
League clubs keep tabs on the Bayern Munich star who has two years
remaining on his...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment