• HABARI MPYA

    Sunday, October 08, 2017

    RONALDO ATOKEA BENCHI NA KUING'ARISHA URENO KOMBE LA DUNIA

    Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kutokea benchi na kuifungia Ureno bao la kwanza dakika ya 63 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Andorra usiku wa jana Uwanja wa Taifa mjini kwenye mchezo wa Kundi D kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi. Bao la pili la Ureno lilifungwa na 86 Andre Silva dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO ATOKEA BENCHI NA KUING'ARISHA URENO KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top