• HABARI MPYA

    Sunday, October 08, 2017

    MABAO YA ROBBEN, DEPAY DAKIKA ZA JIONI YAIBEBA UHOLANZI

    Nahodha wa Uholanzi, Arjen Robben akienda chini baada ya kukwatuliwa na beki wa Belarus, Sergei Balanovich katika mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia kwa upande wa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Borisov Arena mjini Borisov. Uholanzi ilishinda 3-1 mabao yake yakifungwa na Davy Propper dakika ya 24, Arjen Robben kwa penalti dakika ya 84 na Memphis Depay dakika ya 90 wakati la wenyeji lilifungwa na Maksim Volodko dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MABAO YA ROBBEN, DEPAY DAKIKA ZA JIONI YAIBEBA UHOLANZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top