Nahodha wa Uholanzi, Arjen Robben akienda chini baada ya kukwatuliwa na beki wa Belarus, Sergei Balanovich katika mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia kwa upande wa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Borisov Arena mjini Borisov. Uholanzi ilishinda 3-1 mabao yake yakifungwa na Davy Propper dakika ya 24, Arjen Robben kwa penalti dakika ya 84 na Memphis Depay dakika ya 90 wakati la wenyeji lilifungwa na Maksim Volodko dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Reggie Bush is REINSTATED as 2005 Heisman Trophy winner, with organizers
citing NIL rule changes two decades after he accepted money and gifts at USC
-
Reggie Bush was reinstated as the 2005 Heisman Trophy winner on Wednesday,
as the award's organizers cited fundamental changes in the structure of
college ...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment