Alberto Moreno wa Liverpool akimruka Ashley Young wa Manchester United leo Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Ligi Kuu ya England uliomalizika kwa sare ya bila mabao. Kwa sare hiyo, United inapaa kileleni mwa msimamo wa ligi ikifikisha pointi 20 baada ya kucheza mechi nane, mbele ya Manchester City wenye pointi 19 za mechi saba, ambao Saa 11:00 wanacheza na Stoke City Uwanja wa Etihad PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lyon puts Australia on brink of Ashes win
-
England are on the brink of an Ashes series defeat after Australia's Nathan
Lyon broke their resistance late on the fourth day of the third Test in
Adelaide.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment