'KAPTENI' MBWANA SAMATTA ALIPOPEWA MTOTO JANA BOKO
Mama akimpa mtoto Nahodha wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mbwana Samatta jana baada ya mazoezi Uwanja wa Boko Veterani, Bunju nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam
Mashabiki wakifurahia na Mbwana Samatta (kulia) kwa kupiga naye picha baada ya mazoezi jana
Mbwana Samatta anayechezea KRC Genk ya Ubelgiji akiwa amezongwa na mashabiki
Mashabiki walipiga picha na kufurahia na mchezaji huyo kipenzi cha Watanzania
ALL IN mit Marcel Sabitzer
-
Sechs Torbeteiligungen in den vergangenen drei Partien: Marcel Sabitzer ist
aktuell in bestechender Form. Nun kehrt er mit dem BVB nach Leipzig und
damit a...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment