• HABARI MPYA

    Tuesday, October 10, 2017

    ITALIA YASUBIRI 'MLANGO WA UANI' KWENDA URUSI

    Wachezaji wa Italia wakifurahia baada ya ushindi wao wa 1-0 dhidi ya Albania usiku wa jana Uwanja wa Loro Borici mjini Shkoder kwenye mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi, bao pekee la Antonio Candreva dakika ya 73. Hata hivyo, Itali italazimika kucheza mechi mbili za mchujo kuwania nafasi ya kwend Urusi, baada uya kumaliza nafasi ya pilki kwenye Kundi lake nyuma ya Hispania wanaofuzu moja kwa moja. The Azzuri watawajua wapinzani wao katika ratiba itakayopangwa Jumanne mjini Zurich, Uswisi PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ITALIA YASUBIRI 'MLANGO WA UANI' KWENDA URUSI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top