Wachezaji wa Italia wakifurahia baada ya ushindi wao wa 1-0 dhidi ya Albania usiku wa jana Uwanja wa Loro Borici mjini Shkoder kwenye mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi, bao pekee la Antonio Candreva dakika ya 73. Hata hivyo, Itali italazimika kucheza mechi mbili za mchujo kuwania nafasi ya kwend Urusi, baada uya kumaliza nafasi ya pilki kwenye Kundi lake nyuma ya Hispania wanaofuzu moja kwa moja. The Azzuri watawajua wapinzani wao katika ratiba itakayopangwa Jumanne mjini Zurich, Uswisi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Joey Barton says he's been visited by police 'four times in three days'
over his tweets and hits out at 'an attempt to intimidate me and my
family'... as he compares the UK to North Korea
-
The ex-Man City footballer has come under fire this year for his vile
tweets about women working in men's football, infamously claiming female
pundits 'sho...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment