Mabeki wa Kagera Sugar wakimsubiri mshambuliaji wa Yanga, Mrundi Amissi Tambwe ainuke waendelee kumdhibiti katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Mei 9, mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Tambwe hakufunga siku hiyo, ingawa Yanga ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Simon Msuva na Obrey Chirwa, wakati la Kagera lilifungwa na Mbaraka Yussuf
Greatest ever Champions League comebacks RANKED: Liverpool are no strangers
to sensational turnarounds ahead of uphill battle against PSG - but do they
boast the best in history?
-
No competition does comebacks quite like the Champions League . The feeling
that a tie is never truly over is part of what makes elite European
football so...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment