Mabeki wa Kagera Sugar wakimsubiri mshambuliaji wa Yanga, Mrundi Amissi Tambwe ainuke waendelee kumdhibiti katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Mei 9, mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Tambwe hakufunga siku hiyo, ingawa Yanga ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Simon Msuva na Obrey Chirwa, wakati la Kagera lilifungwa na Mbaraka Yussuf
2024 NFL Mock Draft: Day 2 Predictions from Bleacher Report
-
Offense ruled the opening day of the 2024 NFL draft. The first round saw a
record-setting 23 offensive players come off the board in the first 32
picks. Much…
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment