• HABARI MPYA

    Thursday, June 15, 2017

    MABEKI WA KAGERA WALIPOAMUA KULA SAHANI MOJA NA AMISSI TAMBWE ASIFUNGE!

    Mabeki wa Kagera Sugar wakimsubiri mshambuliaji wa Yanga, Mrundi Amissi Tambwe ainuke waendelee kumdhibiti katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Mei 9, mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Tambwe hakufunga siku hiyo, ingawa Yanga ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Simon Msuva na Obrey Chirwa, wakati la Kagera lilifungwa na Mbaraka Yussuf 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MABEKI WA KAGERA WALIPOAMUA KULA SAHANI MOJA NA AMISSI TAMBWE ASIFUNGE! Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top