Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk Harrisons Mwakyembe (kushoto) akishuhudia uzinduzi wa kampuni ya SportPesa Tanzania asubuhi ya leo hoteli Hyatt Kilimanjaro, Dar es Salaam.
Tafrija fupi ya uzinduzi wa SportPesa Tanzania imefana leo Hyatt Kilimanjaro
Waziri Mwakyembe alitoa hotuba fupi ya kuikaribisha SportPesa Tanzania
Mkurugenzi wa SportPesa Tanzania, Tarimba Abbas (kulia) akizungumza kwenye hafla hiyo
Watangazaji wa Azam TV, Michael Maluwe na Patrick Nyembera wakiwa na msanii, Idris Sultan
Mwanamuziki maarufu, Ambwnee Yessayah 'AY' wa pili kulia
Makamu wa Rais wa Simba SC, Geoffrey Nyange 'Kaburu' (kushoto) nakiwa na Katibu wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa
Wadau mbalimbali wakifuatilia uzinduzi wa SportPesa Tanzania
Nyota wa muziki wa Rap Tanzania, Hamisi Mwinjuma 'Mwana FA' (kulia) alikuwepo pia
Mwenyekiti wa zamani wa Yanga, Dk. Jabir Idriss Katundu alikuwepo
Formula One team announce star will leave at the end of the season... with
18-year-old British sensation Oliver Bearman in pole position to replace him
-
A door opened and a seat became available on Friday for British teenager
Ollie Bearman to secure a place on the Formula One grid next season.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment