• HABARI MPYA

    Tuesday, May 09, 2017

    TAFRIJA YA UZINDUZI WA SPORTPESA TANZANIA LEO HYATT KILIMANJARO

    Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk Harrisons Mwakyembe (kushoto) akishuhudia uzinduzi wa kampuni ya SportPesa Tanzania asubuhi ya leo hoteli Hyatt Kilimanjaro, Dar es Salaam.
    Tafrija fupi ya uzinduzi wa SportPesa Tanzania imefana leo Hyatt Kilimanjaro
    Waziri Mwakyembe alitoa hotuba fupi ya kuikaribisha SportPesa Tanzania 
    Mkurugenzi wa SportPesa Tanzania, Tarimba Abbas (kulia) akizungumza kwenye hafla hiyo 
    Watangazaji wa Azam TV, Michael Maluwe na Patrick Nyembera wakiwa na msanii, Idris Sultan 
    Mwanamuziki maarufu, Ambwnee Yessayah 'AY' wa pili kulia
    Makamu wa Rais wa Simba SC, Geoffrey Nyange 'Kaburu' (kushoto) nakiwa na Katibu wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa
    Wadau mbalimbali wakifuatilia uzinduzi wa SportPesa Tanzania  
    Nyota wa muziki wa Rap Tanzania, Hamisi Mwinjuma 'Mwana FA' (kulia) alikuwepo pia 
    Mwenyekiti wa zamani wa Yanga, Dk. Jabir Idriss Katundu alikuwepo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TAFRIJA YA UZINDUZI WA SPORTPESA TANZANIA LEO HYATT KILIMANJARO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top