Manuel Lanzini akishangilia baada ya kuifungia West Ham United bao pekee la ushindi dakika ya 65 ikiilaza Tottenham Hotspur 1-0 usiku wa jana Uwanja wa London katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Kwa matokeo hayo, Spurs inaelekea kujitoa kwenye mbio za ubingwa na sasa wapinzani wao, Chelsea watajihakikishia taji wakishinda mechi zao mbili zijazo. Chelsea wanaongoza kwa pointi zao 81 za mechi 34, wakati Spurs ni wa pili kwa pointi zao 77 za mechi 35 sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alan Brazil, 66, is forced to miss his TalkSPORT show again after being
taken ill - as his replacement reveals exactly what's wrong with presenter
-
The popular broadcaster, 66, sparked concern when he failed to return to
his presenting duties alongside Gabriel Agbonlahor after a break during the
show o...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment