Lionel Messi akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 45 na 82 kwa penalti katika ushindi wa 4-1 wa Barcelona dhidi ya Villarreal usiku wa Jumamosi Uwanja wa Camp Nou kwenye mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Neymar Junior dakika ya 21 na Luis Suarez dakika ya 69, wakati la Villarreal lilifungwa na Cedric Bakambu dakika ya 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool fans are left baffled by 'silly' talks to sell club legend Andy
Robertson to Tottenham, fearing leadership void as they take aim at squad
planning
-
Arne Slot's side have received an approach from Spurs about getting a deal
done this window, after Thomas Frank lost defender Ben Davies to a broken
ankle ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment