Lionel Messi akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 45 na 82 kwa penalti katika ushindi wa 4-1 wa Barcelona dhidi ya Villarreal usiku wa Jumamosi Uwanja wa Camp Nou kwenye mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Neymar Junior dakika ya 21 na Luis Suarez dakika ya 69, wakati la Villarreal lilifungwa na Cedric Bakambu dakika ya 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former England rugby captain and World Cup winner Phil Vickery is declared
BANKRUPT as documents show he owes 'hundreds of thousands of pounds'
-
The Office of the Adjudicator granted Phil Vickery's request to be made
bankrupt on February 21 and on or before that date he stood down from at
least four...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment