Shabiki wa Yanga akifurahia huku akila wali kwa kabichi na nyama ya kuku juzi jioni Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kati ya timu yake na Tanzania Prisons ya Mbeya. Yanga ilishinda 2-0
Shabiki huyo wa kike hapa anampa na shabiki mwenzake wa kiume chakula hicho
Mashabiki wa kike wa Yanga wakifurahia kwa raha zao juzi
Mashabiki wa Simba wakifuraia wakati wa mchezo wa Ligi Kuu juzi kati ya timu yao na African Lyon Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, Simba ilishinda 2-1
Mashabiki wa Simba walikuwa wenye furaha kuanzia kipindi cha kwanza baada ya Ibrahim Hajib kufunga bao la kwanza
Loughnane takes victory in 86 secs on return to PFL
-
Manchester fighter Brendan Loughnane opens his PFL 2024 season with a
stoppage win over Pedro Carvalho.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment