• HABARI MPYA

    Monday, May 08, 2017

    NAMNA AMBAVYO SAMATTA ALIKUWA 'MOTO' JANA LUMINUS ARENA

    Mshambuliaji wa KRC Genk, Mtanzania, Mbwana Ally Samatta (kushoto) akimuacha chini mchezaji KAS Eupen katika mchezo wa Kundi B kuwania tiketi ya kucheza michuano ya UEFA Europa League mwakani usiku wa jana Uwanja wa Luminus Arena, Genk. Genk ilishinda 2-1, Samatta akifunga bao la pili
    Samatta akimtoka beki wa KAS Eupen anayeonekana kucheza rafu
    Mbwana Samatta akipasua katikati ya wachezaji wa KAS Eupen 
    Mbwana Samatta akienda juu kutuliza mpira kifuani jana
    Pamoja na kufungwa bao moja jana, Mbwana Samatta pia alikosa bao la wazi
     Mbwana Samatta akipambana na mchezaji wa KAS Eupen 
     Mbwana Samatta alikuwa katika kiwango kizuri jana

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NAMNA AMBAVYO SAMATTA ALIKUWA 'MOTO' JANA LUMINUS ARENA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top