• HABARI MPYA

    Sunday, May 07, 2017

    AMBAVYO AMISSI JOSELYN TAMBWE "ASIVYOPENDA UJINGA"

    Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe akimkwida beki wa Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-0 
    Tambwe alilazimika kumfanyia hivyo beki huyo baada ya kuzidisha kumchezea "kindava"
    Kama inavyoonekana hapa, beki huyo amemshika mikono Tambwe wakati wakisubiri mpira wa kona
    Hapa Tambwe anajaribu kujinasua kwenye mwili wa beki huyo
    Beki huyo akiwa amemshika Tambwe wakati wa mpira wa kona
    Hapa ameshika tena ili asiuwahi mpira
    Na hapa amesmhika pia wakati wakisubiri mpira wa kona
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AMBAVYO AMISSI JOSELYN TAMBWE "ASIVYOPENDA UJINGA" Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top