Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mzambia Obrey Chirwa akiwatoka mabeki wa Mouloudia Club Alger ya Algeria katika mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 1-0
Winga wa Yanga, Simon Msuva (kushoto) akituliza mpira kifuani mbele ya beki wa MC Alger
Simon Msuva na Thabani Kamusoko wakiruka kwa pamoja kuwania mpira wa juu dhidi ya beki wa MC Alger
Kiungo wa Yanga, Said Juma 'Makapu' akimtoka kiungo wa MC Alger
Beki wa Yanga, Hassan Kessy akiwatoka wachezaji wa MC Alger
Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima akijaribu kuwapita wachezaji wa MC Alger
Beki wa Yanga, Vincent Bossou (kulia) akimdhibiti mshambuliaji wa MC Alger
Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma akijivuta kumpita beki wa MC Alger
Kikosi cha Yanga kilichoanza kwenye mechi ya jana na chini ni kikosi cha MC Alger
Georgia star Javon Bullard screams 'I'm a F****NG Packer' in joyous scenes
with his family after getting NFL Draft call from Green Bay in second round
-
Georgia safety Javon Bullard shared a joyous moment with his family on
Friday night, screaming 'I'm a f****ng Packer!' after getting an
all-important call ...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment