• HABARI MPYA

    Monday, April 03, 2017

    SUAREZ, NEYMAR WAFUNGA BARCELONA YASHINDA 4-1 UGENINI LA LIGA

    Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 44 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji Granada kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Nuevo Los Carmenes, Granada usiku wa Jumapili. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Paco Alcacer dakika ya 64, Matthieu Saunier aliyejifunga dakika ya 83 na Neymar dakika ya 90 na ushei wakati la kufutia machozi la wenyeji lilifungwa na Jeremie Boga dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SUAREZ, NEYMAR WAFUNGA BARCELONA YASHINDA 4-1 UGENINI LA LIGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top