Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 44 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji Granada kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Nuevo Los Carmenes, Granada usiku wa Jumapili. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Paco Alcacer dakika ya 64, Matthieu Saunier aliyejifunga dakika ya 83 na Neymar dakika ya 90 na ushei wakati la kufutia machozi la wenyeji lilifungwa na Jeremie Boga dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool's Premier League title hopes have gone up in smoke just as Jurgen
Klopp and Mohamed Salah started to run on empty, writes DOMINIC KING
-
DOMINIC KING: After that 1-0 defeat to Palace on April 14, Liverpool's
first at home in the Premier League for almost two years, Jurgen Klopp's
(left) deme...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment