Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 44 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji Granada kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Nuevo Los Carmenes, Granada usiku wa Jumapili. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Paco Alcacer dakika ya 64, Matthieu Saunier aliyejifunga dakika ya 83 na Neymar dakika ya 90 na ushei wakati la kufutia machozi la wenyeji lilifungwa na Jeremie Boga dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham made a mess of their game with Liverpool, almost forced their way
back in but lost again - Thomas Frank's side are still prone to
self-implode as proven with two needless red cards, writes MATT BARLOW
-
MATT BARLOW AT THE TOTTENHAM HOTSPUR STADIUM: Thomas Frank's team found the
fight before Christmas. Not until they were two goals behind and down to 10
men...
30 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment