Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufikisha mabao 100 kwenye michuano ya klabu Ulaya, kufuatia kuifungia Real Madrid mabao yote mawili dakika za 47 na 77 ikitoka nyuma kwa 1-0 na kushinda 2-1 dhidi ya wenyeji Bayern Uwanja wa Munich Allianz Arena mjini Munich katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa. Arturo Vidal alianza kuwafungia wenyeji dakika ya 25 akimalizia pasi ya Thiago Alccntara, lakini akapiga juu mkwaju wa penalti dakika ya 45 ambao Bayern walizawadiwa baada ya Dani Carvajal kuunawa mpira PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Watch Shohei Ohtani get introduced as a Dodger for the first time by Brian
Cranston at Dodger Stadium on Opening Day amid a betting scandal and the
firing of his former interpreter Ippei Mizuhara
-
Los Angeles Dodgers star Shohei Ohtani tried to put on a happy face as he
was introduced as a member of his new team for the first time amid chaos
off the ...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment