• HABARI MPYA

    Thursday, April 13, 2017

    RONALDO AWEKA REKODI MPYA YA MABAO ULAYA...APIGA ZOTE MBILI UGENINI REAL YAILAZA 2-1 BAYERN

    Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufikisha mabao 100 kwenye michuano ya klabu Ulaya, kufuatia kuifungia Real Madrid mabao yote mawili dakika za 47 na 77 ikitoka nyuma kwa 1-0 na kushinda 2-1 dhidi ya wenyeji Bayern Uwanja wa Munich Allianz Arena mjini Munich katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa. Arturo Vidal alianza kuwafungia wenyeji dakika ya 25 akimalizia pasi ya  Thiago Alccntara, lakini akapiga juu mkwaju wa penalti dakika ya 45 ambao Bayern walizawadiwa baada ya Dani Carvajal kuunawa mpira PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AWEKA REKODI MPYA YA MABAO ULAYA...APIGA ZOTE MBILI UGENINI REAL YAILAZA 2-1 BAYERN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top