Wilfried Ndidi akishangilia baada ya kuifungia bao zuri la kwanza Leicester City dakika ya 25 ikiilaza 2-0 Stoke City leo Uwanja wa King Power katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la pili la mabingwa hao watetezi limefungwa na Jamie Vardy dakika ya 47. Ndindi alikuwa sahiba wa Mtanzania, Mbwana Samatta KRC Genk ya Ubelgiji kabla ya kuhamia England Januari PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stat shows Bruno is Europe's best creator
-
Fernandes leads the way this term in the Premier League and across the
continent.
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment