• HABARI MPYA

    Saturday, April 01, 2017

    MSHKAJI WA SAMATTA AING'ARISHA LEICESTER CITY, YASHINDA 2-0

    Wilfried Ndidi akishangilia baada ya kuifungia bao zuri la kwanza Leicester City dakika ya 25 ikiilaza 2-0 Stoke City leo Uwanja wa King Power katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la pili la mabingwa hao watetezi limefungwa na Jamie Vardy dakika ya 47. Ndindi alikuwa sahiba wa Mtanzania, Mbwana Samatta KRC Genk ya Ubelgiji kabla ya kuhamia England Januari PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MSHKAJI WA SAMATTA AING'ARISHA LEICESTER CITY, YASHINDA 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top