Almasi Kassongo (wa pili kulia walioketi) baada ya kutetea nafasi yake ya Uenyekiti wa Chama cha Soka Dar es Salaam (DRFA) katika Uchaguzi Mkuu wa chama hicho uliofanyika hoteli ya Lamada, Dar es Salaam jana akipata kura 12 dhidi ya kura tisa za mpinzani wake, Peter Muhinzi. Alionao ni viongozi aliochaguliwa nao Salum Mwaking’inda, Makamu Mwenyekiti, Msanifu Kondo, Katibu Mkuu, Issa Masoud, Mweka Hazina, Shaffih Dauda Mjumbe Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Michael Lupiana, mwakilishi wa klabu, Amour Amour, Chichi Hassan na Funua Ally Wajumbe wa Kamati ya Utendaji
Tennis super fan who went viral for Emma Raducanu support is EVICTED from
Australian Open by police during Alex de Minaur match
-
The tennis super fan who became a viral sensation for his support of Brit
Emma Raducanu has experienced a complete backflip of fortunes after police
ejecte...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment