Andros Townsend akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Crystal Palace bao la kwanza dakika ya saba Uwanja wa Selhurst Park, London akimalizia krosi ya Wilfried Zaha usiku wa jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Palace ilishinda 3-0 mabao mengine yakifungwa na Yohan Cabaye dakika ya 63 na Luka Milivojevic dakika ya 68 kwa penalti baada ya Townsend kuangshwa kwenye boksi la Arsenal PICHA ZAIDI HONGA HAPA
Cunha scores stunning late winner as Man Utd beat Arsenal
-
Two sensational second-half strikes give Manchester United a huge win that
takes them above Chelsea and Liverpool into fourth.
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment