Andros Townsend akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Crystal Palace bao la kwanza dakika ya saba Uwanja wa Selhurst Park, London akimalizia krosi ya Wilfried Zaha usiku wa jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Palace ilishinda 3-0 mabao mengine yakifungwa na Yohan Cabaye dakika ya 63 na Luka Milivojevic dakika ya 68 kwa penalti baada ya Townsend kuangshwa kwenye boksi la Arsenal PICHA ZAIDI HONGA HAPA
Captain fantastic Bruno Fernandes is Man United's own superhero... the new
era at Old Trafford must be built around their Portuguese superstar, writes
NATHAN SALT
-
NATHAN SALT: Man United have their very own superhero in captain Bruno
Fernandes and INEOS must ensure the team of the future is built around him
starting ...
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment