Shkodran Mustafi wa Arsenal akimvuta jezi Troy Deeney wa Watford (kushoto) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Emirates, London. Watford ilishinda 2-1 ugenini mabao yake yakifungwa na Younes Kaboul dakika ya 10 na Deeney dakika ya 13, wakati la Arsenal lilifungwa na Alex Iwobi dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: England bowlers flayed as Jamie Smith delivers abiding
image after drop, Joe Root neuters Australia's headline makers and Nathan
Lyon is left feeling 'filthy', writes OLIVER HOLT
-
It was a difficult first session in the field. Wicketkeeper Jamie Smith put
down a simple catch from Travis Head, off the bowling of Archer, and that
seeme...
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment