Shkodran Mustafi wa Arsenal akimvuta jezi Troy Deeney wa Watford (kushoto) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Emirates, London. Watford ilishinda 2-1 ugenini mabao yake yakifungwa na Younes Kaboul dakika ya 10 na Deeney dakika ya 13, wakati la Arsenal lilifungwa na Alex Iwobi dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Saved by 'special talent' - but did penalty award wrong Brighton?
-
Charalampos Kostoulas earned Brighton a point with a stunning overhead kick
but were the Seagulls right to be angry over an earlier penalty award?
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment