• HABARI MPYA

    Thursday, February 23, 2017

    KLOPP AMTIA PINGU LALLANA LIVERPOOL HADI 2021

    Kocha Jurgen Klopp (kulia) akifurahia na kiungo, Adam Lallana baada ya mchezaji huyo wa kimataifa wa England kusaini mkataba mpya wa miaka minne kuendelea kufanya kazi Anfield hadi mwaka 2021 kwa mshahara wa Pauni 150,000 kwa wiki PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KLOPP AMTIA PINGU LALLANA LIVERPOOL HADI 2021 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top