• HABARI MPYA

    Saturday, February 25, 2017

    HALI ILIVYO NJE YA UWANJA WA TAIFA SIMBA NA YANGA

    Umati wa watu nje ya Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wakati wa harakati za kuingia ndani kushuhudia mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya mahasimu, Simba na Yanga loe. Mchezo huo unaanza Saa 10:00 jioni
    Askari Polisi wa kikosi cha kutuliza Ghasia (FFU) wakiwa mbele ya geti kuu Uwanja wa Taifa 
    Watu wanaelekea kuingia uwanjani, askari wanazidi kumiminika Taifa
    Shabiki wa Yanga akiendesha baiskeli yake kwa mbwembwe
    Mashabiki wa Simba wamemuweka kati shabiki wa Simba 
    Mashabiki wa Simba na Yanga kwa upendo wakipiga picha ya pamoja
    Wafanyabiashara ndogondogo nao wametumia fursa hii kujitafuia riziki
    Mashabiki wakipiga hesabu wakaingilie geti gani
    Askari wanamkagua kila anayeintia uwanjani, hata awe nani
    Akina mama wakijitafutia riziki kwa kuuza vinywaji nje ya Uwanja wa Taifa
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HALI ILIVYO NJE YA UWANJA WA TAIFA SIMBA NA YANGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top