Umati wa watu nje ya Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wakati wa harakati za kuingia ndani kushuhudia mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya mahasimu, Simba na Yanga loe. Mchezo huo unaanza Saa 10:00 jioni
Askari Polisi wa kikosi cha kutuliza Ghasia (FFU) wakiwa mbele ya geti kuu Uwanja wa Taifa
Watu wanaelekea kuingia uwanjani, askari wanazidi kumiminika Taifa
Shabiki wa Yanga akiendesha baiskeli yake kwa mbwembwe
Mashabiki wa Simba wamemuweka kati shabiki wa Simba
Mashabiki wa Simba na Yanga kwa upendo wakipiga picha ya pamoja
Wafanyabiashara ndogondogo nao wametumia fursa hii kujitafuia riziki
Mashabiki wakipiga hesabu wakaingilie geti gani
Askari wanamkagua kila anayeintia uwanjani, hata awe nani
Akina mama wakijitafutia riziki kwa kuuza vinywaji nje ya Uwanja wa Taifa
Rasmus Hojlund admits he was 'bothered' by criticism during Man United goal
drought in the Premier League... and claims it was 'great to shut people
up' as he accuses critics of jealousy
-
The Dane went 14 games without a Premier League goal after joining from
Atalanta for £72million, despite scoring five goals in the Champions League
group s...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment