• HABARI MPYA

    Thursday, February 23, 2017

    ZLATAN AKINUKISHA, MKHITARYAN AFUNGA BAO PEKEE...MAN U YAUA 1-0 NA KUPAA ULAYA

    Zlatan Ibrahimovic akituliza mpira kifuani mbele ya beki wa Saint-Etienne, Kevin Theophile-Catherine katika mchezo wa marudiano hatua ya 32 Bora Europa League leo Uwanja wa Geoffroy-Guichard mjini Saint-Etienne, Manchester United ikishinda 1-0, bao pekee la Henrikh Mkhitaryan dakika ya 16. Kwa ushindi huo Man United iliyomaliza pungufu baada ya Eric Bailly kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 63 inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 4-0 baada ya awali kushindaa 4-0 nyumbani PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ZLATAN AKINUKISHA, MKHITARYAN AFUNGA BAO PEKEE...MAN U YAUA 1-0 NA KUPAA ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top