Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 75 ikiwalaza wenyeji, Blackburn Rovers 2-1 usiku huu Uwanja wa Ewood Park mjini Blackburn, Lancashire katika mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England. Danny Graham alianza kuifungia Rovers bao la kuongoza dakika ya 17, kabla ya Marcus Rashford kuisawazishia United dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England's Jack Willis could miss a year after surgery on the knee injury he suffered against Italy
-
Willis was twisted out of a ruck in England's 41-18 win at Twickenham and
needed nearly 10 minutes of medical attention before being taken off. He
has now ...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment