• HABARI MPYA

    Friday, February 24, 2017

    KANE AJIFUNGA, DELE ALLI ALIMWA KADI NYEKUNDU, SPURS YATUPWA NJE ULAYA

    Nyota wa Tottenham Hotspur, Dele Alli akiangalia juu kwa masikitiko wakati anatoka nje baada ya kuonyeshwa kadi nyekundu dakika ya 39 kwa kucheza rafu katika mchezo wa marudiano wa 32 Bora Europa League usiku wa jana Uwanja wa  Wembley mjini London wakilazimishwa sare ya 2-2 na Gent ya Ubelgiji. Mabao ya Spurs yalifungwa na Christian Eriksen dakika ya 10 na Victor Wanyama dakika ya 61, wakati ya Gent Harry Kane alijifunga dakika ya 20 na la pili akafunga Jeremy Perbet dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KANE AJIFUNGA, DELE ALLI ALIMWA KADI NYEKUNDU, SPURS YATUPWA NJE ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top