• HABARI MPYA

    Monday, February 27, 2017

    NA BENDERA ZA CHADEMA ZILITAMBA JUZI UWANJA WA TAIFA

    Shabiki wa Simba akipeperusha bendera ya CHADEMA katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kati ya Simba na Yanga Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 2-1
    Lakini alikuwa akifanya kwa ujanja mno ili Polisi wasimuone
    Polisi wakijipindua alikuwa akiinyoosha bendeta yake
    Hapa ni wakati anaingia ameificha bendera yake
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NA BENDERA ZA CHADEMA ZILITAMBA JUZI UWANJA WA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top