Wachezaji wa Arsenal, wakimpongeza mwenzao, Lucas Perez baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 26 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sutton United kwenye mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa The Borough Sports Ground mjini Sutton, Surrey. Bao la pili la The Gunners lilifungwa na Theo Walcott dakika yake 55, ambalo linakuwa bao lake la 100 tangu ajiunge na Washika Bunduki hao, ambao sasa watamenyana na Lincoln City katika Robo Fainali Uwanja wa Emirates PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Justin Fields blocked trades from FOUR other NFL teams before Bears dealt
him to Steelers... as former Chicago starter only wanted to move to
Pittsburgh
-
Before being traded to the Pittsburgh Steelers from the Chicago Bears on
Saturday, Justin Fields denied deals to four other NFL teams as he had his
mind ma...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment