Wachezaji wa Arsenal, wakimpongeza mwenzao, Lucas Perez baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 26 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sutton United kwenye mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa The Borough Sports Ground mjini Sutton, Surrey. Bao la pili la The Gunners lilifungwa na Theo Walcott dakika yake 55, ambalo linakuwa bao lake la 100 tangu ajiunge na Washika Bunduki hao, ambao sasa watamenyana na Lincoln City katika Robo Fainali Uwanja wa Emirates PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment