Wachezaji wa Arsenal, wakimpongeza mwenzao, Lucas Perez baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 26 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sutton United kwenye mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa The Borough Sports Ground mjini Sutton, Surrey. Bao la pili la The Gunners lilifungwa na Theo Walcott dakika yake 55, ambalo linakuwa bao lake la 100 tangu ajiunge na Washika Bunduki hao, ambao sasa watamenyana na Lincoln City katika Robo Fainali Uwanja wa Emirates PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dreams FC coach Vladislav Viric proud of his players after return to victory against Ashantigold
-
Dreams FC coach Vladislav Viric has praised his players mentality after
returning to winning ways in their victory over Ashantigold.The ‘Still
Believe†...
56 minutes ago
0 comments:
Post a Comment