Lionel Messi akishangulia na mchezaji mwenzake, Neymar Junior baada ya kufunga bao lake la 20 msimu huu dakika ya 86 katika ushindi wa 2-1 wa Barcelona dhidi ya Atletico Madrid kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid, Hispania. Bao lingine la Barcelona lilifungwa na Rafael AlcAntara do Nascimento 'Rafinha' dakika ya 64, wakati la Atletico lilifungwa na Diego Godin dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal Supporters Trust slam club's decision not to fully renew fans' silver membership next season
-
The Gunners' silver membership grants supporters priority access to
purchase matchday tickets, and costs £59, but the coronavirus pandemic has
severely lim...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment