Lionel Messi akishangulia na mchezaji mwenzake, Neymar Junior baada ya kufunga bao lake la 20 msimu huu dakika ya 86 katika ushindi wa 2-1 wa Barcelona dhidi ya Atletico Madrid kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid, Hispania. Bao lingine la Barcelona lilifungwa na Rafael AlcAntara do Nascimento 'Rafinha' dakika ya 64, wakati la Atletico lilifungwa na Diego Godin dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eric Comrie makes 34 saves, Winnipeg Jets top Buffalo Sabres 4-1
-
WINNIPEG — Eric Comrie made 34 saves and Kyle Connor scored his
team-leading 15th goal of the season as the Winnipeg Jets downed the
Buffalo Sabres 4-1 on ...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment