Lionel Messi akishangulia na mchezaji mwenzake, Neymar Junior baada ya kufunga bao lake la 20 msimu huu dakika ya 86 katika ushindi wa 2-1 wa Barcelona dhidi ya Atletico Madrid kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid, Hispania. Bao lingine la Barcelona lilifungwa na Rafael AlcAntara do Nascimento 'Rafinha' dakika ya 64, wakati la Atletico lilifungwa na Diego Godin dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal move step closer to Premier League title with dramatic 1-0 win over
West Ham after late VAR chaos - as Pep Guardiola's Hammers plea goes
unanswered, writes OLIVER HOLT
-
OLIVER HOLT AT THE LONDON STADIUM: On Saturday night, Pep Guardiola had
raised his arms and crossed one wrist in front of the other in the symbol
of West H...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment