Lionel Messi akishangulia na mchezaji mwenzake, Neymar Junior baada ya kufunga bao lake la 20 msimu huu dakika ya 86 katika ushindi wa 2-1 wa Barcelona dhidi ya Atletico Madrid kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid, Hispania. Bao lingine la Barcelona lilifungwa na Rafael AlcAntara do Nascimento 'Rafinha' dakika ya 64, wakati la Atletico lilifungwa na Diego Godin dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham 2-0 Borussia Dortmund: Spurs fizz with energy and finally cut
loose in attack to see off 10-man visitors and offer beleaguered Thomas
Frank lifeline
-
MATT BARLOW AT TOTTENHAM HOTSPUR STADIUM: After the toxic meltdown defeat
at the hands of West Ham, there were very few who expected to feast upon
these he...
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment