Lionel Messi akishangulia na mchezaji mwenzake, Neymar Junior baada ya kufunga bao lake la 20 msimu huu dakika ya 86 katika ushindi wa 2-1 wa Barcelona dhidi ya Atletico Madrid kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid, Hispania. Bao lingine la Barcelona lilifungwa na Rafael AlcAntara do Nascimento 'Rafinha' dakika ya 64, wakati la Atletico lilifungwa na Diego Godin dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The FUFA Drum Final 2023: Tickets out, Fans to purchase using MoMo Pay
-
MTN Uganda—a sponsor of the FUFA Drum have confirmed that the match tickets
for the FUFA Drum Final between Busoga and Lango on Saturday 23rd March
2024 ...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment