Cesc Fabregas akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 19 katika ushindi wa 3- dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Pedro dakika ya 72 na Diego Costa dakika ya 84, wakati la Swansea lilifungwa na Fernando Llorente dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Heartbroken Sky Sports presenter Hayley McQueen speaks out on her father's battle with dementia
-
The 68-year-old's family released a heartfelt, public statement in February
in a bid to raise awareness of the disease and its links with football amid
gro...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment