Cesc Fabregas akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 19 katika ushindi wa 3- dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Pedro dakika ya 72 na Diego Costa dakika ya 84, wakati la Swansea lilifungwa na Fernando Llorente dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Smith drop an early blow in tale of two Ashes keepers
-
Why wicketkeeper Jamie Smith's drop on day two of second Ashes Test is
potentially worrying for England.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment