Cesc Fabregas akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 19 katika ushindi wa 3- dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Pedro dakika ya 72 na Diego Costa dakika ya 84, wakati la Swansea lilifungwa na Fernando Llorente dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Taiwan's Foxconn says everyone will feel impact of prolonged Iran conflict
-
NEW TAIPEI, Taiwan, March 6 (Reuters) - Everyone will feel the impact on
prices of oil and raw materials if the U.S. and Israeli conflict with Iran
drags o...
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment