Mshambuliaji wa Manchester City, Sergio Aguero (kushoto) akishangilia na Leroy Sane baada ya wote kufunga katika ushindi wa 5-3 dhidi ya Monaco Uwanja wa Etihad usiku wa jana katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika, Aguero alifunga mawili dakika za 58 na 71, Sane moja dakika ya 82 na mengine Raheem Sterling dakika ya 26 na John Stones dakika ya 77, wakati ya Monaco yalifungwa na Radamel Falcao mawili dakika za 32 na 61 huku akikosa penalti dakika ya 50 na Kylian Mbappe Lottin dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chiefs kicker Harrison Butker reveals why he wore pro-life tie in front of
Joe Biden at Kansas City's Super Bowl celebration at the White House
-
During last year's Super Bowl celebration at the White House, Kansas City
Chiefs kicker Harrison Butker wore a pro-life tie in front of Joe Biden in
protes...
55 minutes ago
0 comments:
Post a Comment