• HABARI MPYA

    Monday, February 20, 2017

    LWANDAMINA ANAPOKUWA KAZINI...

    Kocha wa Yanga, George Lwandamina akipaaza sauti kuzungumza na wachezaji wake wakati wa mchezo wa marudiano juzi Raundi ya Awali Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Ngaya Club de Mde ya Comoro Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1 na Yanvga imesonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-2 baada ya awali kushinda 5-1 mjini Moroni, Comoro.
    Lwandamina alijitahidi sana kuzungumza na wachezaji wake, lakini haikusaidia kubadili matokeo
    Alitumia muda mwingi kusimama kutoa maelekezo kwa wachezaji wake
    Kuna wakati alionyesha kabisa kukasirishwa na mambo yanavyoendelea uwanjani
    Hapa anatoa maelekezo kwa vijana wake kwa maneno na vitendo
    Lwandamina hakufurahishwa kabisa na sare ya juzi dhidi ya Ngaya 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LWANDAMINA ANAPOKUWA KAZINI... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top