Kocha wa Yanga, George Lwandamina akipaaza sauti kuzungumza na wachezaji wake wakati wa mchezo wa marudiano juzi Raundi ya Awali Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Ngaya Club de Mde ya Comoro Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1 na Yanvga imesonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-2 baada ya awali kushinda 5-1 mjini Moroni, Comoro.
Lwandamina alijitahidi sana kuzungumza na wachezaji wake, lakini haikusaidia kubadili matokeo
Alitumia muda mwingi kusimama kutoa maelekezo kwa wachezaji wake
Kuna wakati alionyesha kabisa kukasirishwa na mambo yanavyoendelea uwanjani
Hapa anatoa maelekezo kwa vijana wake kwa maneno na vitendo
Lwandamina hakufurahishwa kabisa na sare ya juzi dhidi ya Ngaya
How a hidden detail about the Tasmanian Devils' divisive new jersey will
shock footy fans
-
There is good news for Tasmanian Devils supporters who were critical of the
launch of the new AFL club's first guernsey this week.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment