Mashabiki wa Yanga wakifuatilia mchezo wa marudiano Raundi ya Awali Ligi ya Mabingwa Afrika baina ya timu yao na Ngaya Club de Mde Comoro jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1 na Yanga imesonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-2 baada ya kushinda 5-1 mjini Moroni Jumapili iliopita katika mchezo wa kwanza
Dani Alves 'parties until 5am with friends and family at his £4.5m
villa'... just days after disgraced former Barcelona player was released on
bail as he appeals rape conviction
-
The 40-year-old was found guilty in February of this year and sentenced to
four-and-a-half years in prison, but Alves is in the process of appealing
the ve...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment