Lionel Messi akipongezwa na mchezaji mwenzake, Neymar baada ya kuifungia Barcelona mabao yote mawili dakika za nne na dakika ya 90 kwa penalti katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Leganes kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Bao la Leganes lilifungwa na Unai Lopez dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rangers CONFIRMED as Scottish champions for the 55th time in their history
-
Rangers have dominated this season's title race from start to finish,
winning 28 and drawing four of their 32 matches, to ruin Celtic's bid for a
10th succ...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment