Mshambuliaji Mrundi wa Simba, Laudit Mavugo akipiga kichwa mbele ya beki wa Yanga, Andrew Vincent 'Dante' katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 2-1
Beki wa Simba, Janvier Besala Bokungu akiondoka na mpira mbele ya mshambuliaji wa Yanga, Amisi Tambwe
Mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Hajib akipinda krosi pembeni ya wacheaji wa Yanga
Kiungo wa Simba, Said Ndemla akipiga shuti mbele ya wachezaji wa Yanga
Kiungo wa Simba, Muzamil Yassin (kulia) akivuta mpira dhidi ya beki wa Yanga, Kevin Yondan
Kiungo wa Yanga, Thabani Kamusoko akimiliki mpira mbele ya viungo wa Simba Muzamil Yassin (kulia) na Mobammed Ibrahim (katikati)
Viungo James Kotei wa Simba (kulia) na Juma Mahadhi Yanga (kushoto)
Mashabiki wa Simba wakifurahia kazi ya wachezaji wao jana Uwanja wa Taifa
Kikosi cha Yanga jana
Kikosi cha Simba jana
Chiefs kicker Harrison Butker reveals why he wore pro-life tie in front of
Joe Biden at Kansas City's Super Bowl celebration at the White House
-
During last year's Super Bowl celebration at the White House, Kansas City
Chiefs kicker Harrison Butker wore a pro-life tie in front of Joe Biden in
protes...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment