• HABARI MPYA

    Friday, April 01, 2016

    YANGA NA NDANDA JANA TAIFA

    Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma (kushoto) akitafuta maarifa ya kuwapita wachezaji wa Ndanda FC ya Mtwara katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-1
    Winga wa Yanga, Godfrey Mwashiuya (kulia) akimgeuza beki wa Ndanda FC jana Uwanja wa Taifa
    Mshambuliaji wa Yanga, Paul Nonga akimtoka beki wa Ndanda jana Taifa
    Nahodha wa Ndanda, Kiggi Makassy (katikati) akimuwekea mkono beki wa Yanga, Mwinyi Mngwali asiuwahi mpira
    Kiungo wa Yanga, Thabani Kamusoko akipitisha mpira katikati ya wachezaji wa Ndanda jana
    Winga wa Yanga, Simon Msuba akimtoka beki wa Ndanda, Salvaatory Ntebe jana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA NA NDANDA JANA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top