Mshambuliaji tegemeo wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akimiliki mpira mazoezini na wenzake Karim Benzema, Pepe (kushoto) na Varane anayemuangali jana Uwanja wa Bernabeu kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Wolfsburg leo kwenye Uwanja huo. Reak inahitaji kushinda 3-0 baada ya kufungwa 2-0 wiki iliyopita Ujerumani ili kwenda Nusu Fainali. Mechi nyingine ya leo ni kati ya Manchester City na Paris Saint-Germain Uwanja wa Etihad, England ambazo mchezo wa kwanza Ufaransa zilitoka sare ya 2-2 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Father of dead serviceman says he never told Hegseth to ‘finish the job’ in
Iran: report
-
‘No, I didn’t say anything along those lines,’ Charles Simmons told NBC
News in an interview Thursday
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment