Mshambuliaji tegemeo wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akimiliki mpira mazoezini na wenzake Karim Benzema, Pepe (kushoto) na Varane anayemuangali jana Uwanja wa Bernabeu kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Wolfsburg leo kwenye Uwanja huo. Reak inahitaji kushinda 3-0 baada ya kufungwa 2-0 wiki iliyopita Ujerumani ili kwenda Nusu Fainali. Mechi nyingine ya leo ni kati ya Manchester City na Paris Saint-Germain Uwanja wa Etihad, England ambazo mchezo wa kwanza Ufaransa zilitoka sare ya 2-2 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Who's Really to Blame for Lakers' 0-3 Playoffs Deficit to Denver Nuggets?
-
When the Los Angeles Lakers jumped out to an 8-0 lead against the Denver
Nuggets in Game 3 of their first-round series, you could almost feel the
script…
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment