Mshambuliaji Roberto Firmino akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 41 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Vitality. Bao lingine la Liverpool limefungwa na Daniel Sturridge wakati la Bournemouth limefungwa na Joshua King PICHA ZAIDI GONGA JAPA
Cowboys Trolled by NFL Fans for CeeDee Lamb Contract Talks as St. Brown
Resets Market
-
The Detroit Lions made Amon-Ra St. Brown the highest-paid wide receiver in
the NFL with a massive contract extension on Wednesday, and that deal is
likely to…
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment