Francis Coquelin wa Arsenal akienda chini baada ya kuchezewa rafu na Yohan Cabaye wa Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates, huku Mile Jedinak akishuhudia. Timu hizo zimetoka sare ya kufungana 1-1, bao la Arsenal likifungwa na Alexis Sanchez dakika ya 45 kabla ya Yannick Bolasie kuwasawazishia wageni dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sadio Mane MISSES a penalty for Al-Nassr with regular taker Cristiano
Ronaldo suspended... but the former Liverpool star recovers to net a brace
in the 3-1 win over Al Feiha
-
With a fightback win, and qualification for next season's AFC Champions
League secured, Ronaldo shared his congratulations to his teammates in a
post on so...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment