• HABARI MPYA

    Saturday, April 02, 2016

    ARSENAL NAYO YAIIGA CHELSEA, YAIPIGA WATFORD 4-0

    Alexis Sanchez na Alex Iwobi wakishangilia baada ya wote kuifungia Arsenal katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Watford leo Uwanja wa Emirates kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Hector Bellerin na Theo Walcott PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL NAYO YAIIGA CHELSEA, YAIPIGA WATFORD 4-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top