Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma akipambana na beki wa Azam FC, Said Mourad katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka 2-2 |
Kipa wa Azam FC, Aishi Manula akiruka kudaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe |
Winga wa Yanga, Simon Msuva akimipita winga wa Azam, Farid Mussa |
Beki wa Yanga, Mwinyi Hajji Mngwali akimuacha chini beki wa Azam, Shomary Kapombe |
Mshambuliajia wa Yanga, Donald Ngoma akimtoka kiungo wa Azam, Jean Baptiste Mugiraneza |
Kiungo wa Yanga, Thabani Kamusoko akimtoka kiungo wa Azam, Himid Mao |
Kikosi cha Yanga kilichoanza jana |
Kikosi cha Azam FC kilichoanza jana |
0 comments:
Post a Comment