Mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Hajib akimtoka beki wa Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 2-0 |
Mshambuliaji wa Simba, Daniel Lyanga akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Mbeya City, Tumba Swedi jana |
Kiungo wa Simba, Mwinyi Kazimoto (kushoto) akipambana na kiungo wa Mbeya City, Kenny Ally jana |
Beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' akiwafunga tela wachezaji wa Mbeya City, Ditrim Nchimbi na Haruna Moshi 'Boban' |
Ibrahim Hajib akiwatoka wachezaji wa Mbeya City |
Wachezaji wa Simba (kushoto) wakishangilia bao la pili, huku kipa Hannington Kalyesebula akijivuta kinyonge |
0 comments:
Post a Comment