Nyota wa Leicester City, Riyad Mahrez akishangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi Leicester City dakika ya 11 ikishinda 1-0 ugenini dhidi ya wenyeji Watford Uwanja wa Vicarage Road katika mchezo wa Ligi Kuu ya England na kuzidi kupaa kileleni kwa kufikisha pointi 60, tano zaidi ya Tottenham Hotspur wanaoshika nafasi ya pili baada ya timu zote kucheza mechi 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
CBS News delays 60 Minutes segment featuring investigation into El
Salvador’s Cecot megaprison
-
Backlash after broadcaster announces the program, due to air on Sunday
night, ‘needs additional reporting’
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment