• HABARI MPYA

    Sunday, March 06, 2016

    RIYAD MAHREZ AISOGEZA LEICESTER CITY JUU ZAIDI ENGLAND

    Nyota wa Leicester City, Riyad Mahrez akishangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi Leicester City dakika ya 11 ikishinda 1-0 ugenini dhidi ya wenyeji Watford Uwanja wa Vicarage Road katika mchezo wa Ligi Kuu ya England na kuzidi kupaa kileleni kwa kufikisha pointi 60, tano zaidi ya Tottenham Hotspur wanaoshika nafasi ya pili baada ya timu zote kucheza mechi 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RIYAD MAHREZ AISOGEZA LEICESTER CITY JUU ZAIDI ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top