Mshambuliaji Mfaransa, Karim Benzema akishangilia kishujaa baada ya kuifungia Real Madrid bao la ushindi dakika ya 89 ikiilaza Huesca 3-2 katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Mabao mengine ya Real Madrid yamefungwa na Isco dakika ya 25 na Dani Ceballos dakika ya 62, wakati ya Huesca yalifungwa na Juan Hernandez dakika ya tatu na Etxeita dakika ya 74. Kwa ushindi huo, Real Madrid inafikisha pointi 57 baada ya kucheza mechi 29, ingawa inabaki nafasi ya tatu, sasa ikizidiwa pointi mbili na Atletico Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio State's $12.5 million head football coach watches as conference rival
signs his SON to play quarterback
-
Columbus-area high school quarterback R.J. Day's decision to attend
Northwestern has piqued the interest of college football fans, but not
because he's an ...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment