• HABARI MPYA

    Monday, April 29, 2019

    VAN DIJK ASHINDA TUZO YA PFA, STERLING ACHUKUA YA CHIPUKIZI

    Beki Mholanzi wa Liverpool, Virgil van Dijk akiwa ameshika tuzo ya Mchezaji Bora wa Chama cha Wachezaji wa Kulipwa (PFA) baada ya kukabidhiwa usiku wa jana ukumbi wa Grosvenor House mjini London kufuatia kumshinda Raheem Sterling wa Manchester City ambaye hivyo, alijifariji kwa ushindi wa tuzo ya Mchezaji Bora Chipukizi 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: VAN DIJK ASHINDA TUZO YA PFA, STERLING ACHUKUA YA CHIPUKIZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top