Beki Mholanzi wa Liverpool, Virgil van Dijk akiwa ameshika tuzo ya Mchezaji Bora wa Chama cha Wachezaji wa Kulipwa (PFA) baada ya kukabidhiwa usiku wa jana ukumbi wa Grosvenor House mjini London kufuatia kumshinda Raheem Sterling wa Manchester City ambaye hivyo, alijifariji kwa ushindi wa tuzo ya Mchezaji Bora Chipukizi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WRU hold talks with Ospreys owners to buy Cardiff
-
The Welsh Rugby Union will enter a "period of exclusivity" with Ospreys
owners Y11 Sport & Media to discuss buying rivals Cardiff.
6 minutes ago




.png)
0 comments:
Post a Comment