Marcos Alonso akitumia makosa ya kipa David De Gea kuipatia bao la kusawazisha Chelsea dakika ya 43 kufuatia Juan Mata kuanza kuifungia Manchester United dakika ya 11 timu hizo zikitoka sare ya 1-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford. Kwa sare hiyo Chelsea inafikisha pointi 68 baada ya kucheza mechi 36 na kuendelea kukamata nafasi ya nne, wakati Man United inayofikisha pointi 65 katika mchezo wa 36 pia inabaki nafasi ya sita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal hold positive contract talks with Gabriel Magalhaes as they look to
reward the defender with fresh terms for playing a key role in title charge
-
The Brazil international (left), who has emerged as one of the leaders of
the Gunners title charge, only signed a new contract in October 2022 - but
the cl...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment