Jordan Henderson akimpongeza James Milner baada ya kufunga bao la pili kwa penalti dakika ya 81, kufuatia Georginio 'Gini' Wijnaldum kufunga la kwanza dakika ya 57 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Cardiff City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Cardiff City mjini Caerdydd. Liverpool inarejea kileleni baada ya ushindi huo ikifikisha pointi 88 baada ya kucheza mechi 35 na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu England, ikiizidi kwa pointi mbili Manchester City ambayo hata hivyo ina mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ben Foster calls ex-Chelsea striker Diego Costa a 'filthy RAT' and Nemanja Vidic 'a sicko'
-
Foster, who spent five years at Man United, has opened up on his days in
the Premier League, naming his least favourite opponent ever, the biggest
hardman ...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment