Jordan Henderson akimpongeza James Milner baada ya kufunga bao la pili kwa penalti dakika ya 81, kufuatia Georginio 'Gini' Wijnaldum kufunga la kwanza dakika ya 57 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Cardiff City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Cardiff City mjini Caerdydd. Liverpool inarejea kileleni baada ya ushindi huo ikifikisha pointi 88 baada ya kucheza mechi 35 na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu England, ikiizidi kwa pointi mbili Manchester City ambayo hata hivyo ina mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marc Guehi completes £20m Man City move as they see off Liverpool, Arsenal
- and the fury of Crystal Palace boss Oliver Glasner - and he says it's a
'relief' to get it done
-
JACK GAUGHAN: Guehi joins £62.5m Antoine Semenyo through the Etihad doors
this month and while not eligible for Tuesday's Champions League tie, will
be ava...
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment