Mshambuliaji Jamie Vardy wa Leicester City (kulia) akiondoka kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 86 katika ushindi wa 3-0 huku kipa wa Arsenal, Bernd Leno akigalagala leo Uwanja wa King Power kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Vardy pia alifunga bao la tatu dakika ya 90 na ushei, wakati bao la kwanza lilifungwa na Youri Tielemans na kwa ushindi huo Leicester City inafikisha pointi 51 baada ya kucheza mechi 36 na kupanda kutoka nafasi ya 11 hadi ya nane, wakati Arsenal inabaki nafasi ya tano na pointi zake 66 za mechi za mechi 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Erik ten Hag promises to keep Kobbie Mainoo in line after his England
exploits... as the Man United boss insists he 'wasn't surprised' the
midfielder shone for the Three Lions
-
CHRIS WHEELER: Erik ten Hag says Manchester United will intervene if the
hype around Kobbie Mainoo ever threatens to go to the player's head.
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment