Kinda mwenye kipaji wa Ajax, Matthijs de Ligt akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi dakika ya67 usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino ikiwalaza 2-1 wenyeji, Juventus katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Ulaya. Cristiano Ronaldo alianza kuifungia Juventus dakika ya 28, kabla ya Donny van de Beek kusawazisha dakika ya 34 na kwa matokeo hayo, Ajax inakwenda Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-2 kufuatia sare ya 1-1 kwenye mchezo wa kwanza Amsterdam na itamenyana na mshindi wa jumla kati ya Tottenham na Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chiefs kicker Harrison Butker reveals why he wore pro-life tie in front of
Joe Biden at Kansas City's Super Bowl celebration at the White House
-
During last year's Super Bowl celebration at the White House, Kansas City
Chiefs kicker Harrison Butker wore a pro-life tie in front of Joe Biden in
protes...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment