Paul Pogba akishangilia na wachezaji wenzake wa Manchester United baada ya kufunga penalti mbili dakika za 19 na 80 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya West Ham United leo Uwanja wa Old Trafford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la West Ham lilifungwa na Felipe Anderson dakika ya 49 na kwa ushindi huo, Man United inafikisha pointi 64 baada ya kucheza mechi 33 na kurejea nafasi ya tano, ikiizidi pointi moja Arsenal ambayo hata hivyo ina mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City's Double Treble quest could still disintegrate into nothing after
penalty heartbreak against Real... Pep Guardiola must rally his troops -
but a crucial week has just got bigger, writes JACK GAUGHAN
-
JACK GAUGHAN AT THE ETIHAD: Bernardo Silva did fire a warning earlier in
the week. A warning of what lay around the corner. A warning that a
potential Treb...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment