Lionel Messi akishangilia kishujaa baada ya kuifungia mabao mawili Barcelona dakika za 16 na 20 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Manchester United kwenye mchezo wa marudiano wa Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Nou Camp. Bao lingine lilifungwa na Philippe Coutinho dakika ya 61 na Barcelona inakwenda Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-0 kufuatia kushinda 1-0 kwenye mchezo wa kwanza Manchester na itakutana na mshindi wa jumla kati ya Porto na Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Julius Randle Scores 44 Points as Knicks Beat Luka Doncic, Mavericks 117-109
-
Julius Randle matched his season-high scoring total with 44 points to lead
the New York Knicks to their fifth straight win after beating the Dallas
Maveric...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment