Lionel Messi akishangilia kishujaa baada ya kuifungia mabao mawili Barcelona dakika za 16 na 20 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Manchester United kwenye mchezo wa marudiano wa Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Nou Camp. Bao lingine lilifungwa na Philippe Coutinho dakika ya 61 na Barcelona inakwenda Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-0 kufuatia kushinda 1-0 kwenye mchezo wa kwanza Manchester na itakutana na mshindi wa jumla kati ya Porto na Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chiefs kicker Harrison Butker reveals why he wore pro-life tie in front of
Joe Biden at Kansas City's Super Bowl celebration at the White House
-
During last year's Super Bowl celebration at the White House, Kansas City
Chiefs kicker Harrison Butker wore a pro-life tie in front of Joe Biden in
protes...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment